About

This is where new technological investions,recent news & funny stuffs r firstly found......

Saturday, January 2, 2010

Justin bieber ahanika makalio yake njee!!

Msanii maarufu wa muziki pande za state..Justin bieber, Ameendeleza wimbi lake la matukio ya kushangaza baada ya juma lililopita kuamua kwa ridhaa yake mwenyewee bila kulazimishwa na kushawishiwa {mambo ya utii bila shuruti!} aliamua kupost picha yake kwenye page yake instagram, inayoonesha makalio AKA butts yake yakiwa wazi,transparently kabisaaaaa.suala hii amelifanya huku ikiwa ni wiki chache kupita baada ya pale aliposhangaza watu kwa kumshika shabiki wake sehemu za mat*t*.justin bieber amekuwa na matukio ya namna hii mengi tu baada ya kufikisha miaka 18 kwa sasa.hata hivyo katika swala hili la hiyo picha,meneja wake amemtetea kwa kusema kuwa alifanya hivyo kwaajili ya burudani tuu!

0 comments:

Post a Comment