About

This is where new technological investions,recent news & funny stuffs r firstly found......

Tuesday, May 28, 2013

BREAKING NEWZZ!! MSANII WA BONGO FLAVA,ALBERT MANGWEA AFARIKI DUNIA!!

Aliyekuwa msanii maarufu wa bongo flava MANGWEIR almaarufu kama KAOBAMA! Amefariki dunia huko jijini johannesburg SOUTH AFRIKA kama vyanzo vya habari vilivyotufikia kutoka nchini huko.. Msanii huyo alienda nchini huko baada ya kupata mualiko wa kufanya show kutoka kwa mmoja wa wasanii wa huko.chanzo cha kifo cha mangweir kinasemekana ni baada ya yeye kudinga madawa ya kulevya kwa kiasi kikubwa{overdose} alipokuwa katika chumba alichokuwa akilala. Hata hivyo bado haijafahamika ni lini mwili wa marehemu huyu utasafirishwa kuja Tanzania.Mangweir aliwahi kuhit na nyimbo kali zikiwemo 'mikasi na nipeni dili' Mangweir anaungana na list ya wasanii waliofariki mwaka huu wakiwamo sajuki na bibi kidude.
#RIP

Saturday, May 4, 2013

HIZI NDIZO PICHA ZINAZOONESHA SWIMMING POOL ILIYOPO KATIKA GHOROFA YA 57

Kama haujawai kuikubal kauli isemayo "pesa haichagui matumizi" basi leo itakubidi uanze kuiamini!! Hizo ni picha za swimming pool katika hoteli ya kifahari iitwayo 'marina bay sands and casino bay' iliyopo singapore.swimming pool hyo kubwa ipo katika ghorofa ya 57! Ya hoteli hyo Na hutoa fursa muogeleaji kuangalia sehemu kubwa ya jiji huku anaponda raha ya kuogelea... Ila inahitaji waogelea wasio na midhahaa midhahaa maana endapo mtu atadondoka,basi tayari atakuwa ameandaliwa cheti chake cha kifo!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Daaaah! pesa hizi...........................