About

This is where new technological investions,recent news & funny stuffs r firstly found......

Monday, December 3, 2012

Je! osama bin laden angekuwa hizi,ingekuwajee?

Watu wanajudge the way osama alivyokimwili na mambo anayoyafanya.hii ni kwasababu mchizi ni simple{mwili wa kawaida} lakini alikuwa anafanya mambo makubwa amboyo yalikuwa yanatikisa dunia hasaa pande za U.S.A.sasa jee angekuwa ana mwili wa kikomando kama akina batista,tyson na great kal.. Watu si ndo wangemuogopa mpaka bhaasss..........................

0 comments:

Post a Comment